2 Wafalme 18:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kisha mufalme wa Ashuru akakamata Israeli na kuwapeleka katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani na katika miji ya Wamedi.+
11 Kisha mufalme wa Ashuru akakamata Israeli na kuwapeleka katika uhamisho+ kule Ashuru na akawakalisha katika Hala na Habori kwenye muto Gozani na katika miji ya Wamedi.+