Isaya 1:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Ngombe-dume anajua muzuri mwenye alimununua,Na punda anajua chombo cha kukulishia wanyama cha bwana wake;Lakini Israeli hanijue,*+Watu wangu mwenyewe hawajiendeshe kwa uelewaji.” Yeremia 2:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Je, bikira anaweza kusahau mapambo yake,Na bibi-arusi nguo zake za kifua?* Na bado watu wangu mwenyewe wamenisahau mimi kwa siku zenye hazina hesabu.+ Yeremia 9:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Wanapinda ulimi wao kama upinde;Uongo unaenea sana katika inchi, hapana uaminifu.+ “Wanatoka kwenye uovu mupaka uovu,Na hawanisikilize,”+ ni vile Yehova anasema.
3 Ngombe-dume anajua muzuri mwenye alimununua,Na punda anajua chombo cha kukulishia wanyama cha bwana wake;Lakini Israeli hanijue,*+Watu wangu mwenyewe hawajiendeshe kwa uelewaji.”
32 Je, bikira anaweza kusahau mapambo yake,Na bibi-arusi nguo zake za kifua?* Na bado watu wangu mwenyewe wamenisahau mimi kwa siku zenye hazina hesabu.+
3 Wanapinda ulimi wao kama upinde;Uongo unaenea sana katika inchi, hapana uaminifu.+ “Wanatoka kwenye uovu mupaka uovu,Na hawanisikilize,”+ ni vile Yehova anasema.