Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Katika mwaka wa kumi na ine (14) wa Mufalme Hezekia, Senakeribu mufalme wa Ashuru+ alipanda ili kushambulia miji yote yenye ngome ya Yuda na kuikamata.+ 14 Basi Mufalme Hezekia wa Yuda akatuma ujumbe huu kwa mufalme wa Ashuru kule Lakishi: “Nimekosea. Ondoka, usinishambulie, na nitatoa kila kitu chenye utaniomba.” Mufalme wa Ashuru akaomba Mufalme Hezekia wa Yuda alipe amande* ya talanta* mia tatu (300) za feza na talanta makumi tatu (30) za zahabu.

  • Isaya 8:7, 8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Kwa hiyo, angalia! Yehova ataleta juu yao

      Maji yenye nguvu na mengi ya ule Muto,*

      Mufalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.

      Atapanda kuja juu ya sehemu zote za chini za mito yake midogo

      Na kufanya maji yamwangike inje ya mipaka yake yote

       8 Na kupita katikati ya Yuda.

      Atafurika na kuvuka, na atafika kwenye shingo;+

      Mabawa yake yenye kunyooshwa yatajaza upana wa inchi yako,

      Ee Emanueli!”*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine