-
2 Wafalme 18:13, 14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Katika mwaka wa kumi na ine (14) wa Mufalme Hezekia, Senakeribu mufalme wa Ashuru+ alipanda ili kushambulia miji yote yenye ngome ya Yuda na kuikamata.+ 14 Basi Mufalme Hezekia wa Yuda akatuma ujumbe huu kwa mufalme wa Ashuru kule Lakishi: “Nimekosea. Ondoka, usinishambulie, na nitatoa kila kitu chenye utaniomba.” Mufalme wa Ashuru akaomba Mufalme Hezekia wa Yuda alipe amande* ya talanta* mia tatu (300) za feza na talanta makumi tatu (30) za zahabu.
-