-
Kumbukumbu la Torati 28:63Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
63 “Na kama vile Yehova alifurahia wakati fulani kuwafanya mufanikiwe na kuongezeka, ni vile Yehova atafurahia kuwaharibu na kuwaangamiza; na mutaongolewa kutoka katika inchi yenye unakaribia kuriti.
-
-
2 Wafalme 17:22, 23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Na watu wa Israeli wakaendelea kutembea katika zambi zote zenye Yeroboamu alikuwa ametenda.+ Hawakuziacha 23 mupaka wakati Yehova alitosha Israeli mbele ya macho yake, kama vile alikuwa amesema kupitia watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakaondolewa katika inchi yao na wakapelekwa katika uhamisho kule Ashuru,+ wanakaa kule mupaka leo.
-