Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kisha atatia sehemu fulani ya damu hiyo kwenye pembe za mazabahu+ yenye kuwa mbele ya Yehova, katika hema ya mukutano; na damu yote yenye ilibakia ataimwanga kwenye musingi wa mazabahu ya toleo la kuteketezwa, yenye kuwa kwenye muingilio wa hema ya mukutano.+

  • Mambo ya Walawi 4:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Atafanya ngombe-dume huyo apelekwe sehemu za pembeni-pembeni ya kambi na kumuteketeza kwa moto kama vile aliteketeza kwa moto ngombe-dume wa kwanza.+ Ni toleo la zambi kwa ajili ya kutaniko.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine