18 Kisha atatia sehemu fulani ya damu hiyo kwenye pembe za mazabahu+ yenye kuwa mbele ya Yehova, katika hema ya mukutano; na damu yote yenye ilibakia ataimwanga kwenye musingi wa mazabahu ya toleo la kuteketezwa, yenye kuwa kwenye muingilio wa hema ya mukutano.+