-
Zekaria 2:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi, yeye mwenye kisha kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yenye yalikuwa yanawanyanganya ninyi vitu vyenu:+ ‘Mutu yeyote mwenye anawagusa ninyi anagusa mboni ya jicho langu.+ 9 Kwa maana sasa nitatikisa mukono wangu juu yao, na watakuwa vitu vyenye vinanyanganywa na watumwa wao wenyewe.’+ Na hakika mutajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma.
-