Habakuki 1:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa maana, angalia, ninasimamisha Wakaldayo,+Taifa lenye halina huruma na lenye kutenda haraka bila kufikiri,Wanaenda haraka katika maeneo mengi ya duniaIli kunyanganya makao yenye hayako yao.+ Zekaria 1:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kwa kasirani kali nimekasirikia sana mataifa yenye utulivu,+ kwa sababu nilikasirika kidogo tu,+ lakini waliongeza kwenye musiba.”’+
6 Kwa maana, angalia, ninasimamisha Wakaldayo,+Taifa lenye halina huruma na lenye kutenda haraka bila kufikiri,Wanaenda haraka katika maeneo mengi ya duniaIli kunyanganya makao yenye hayako yao.+
15 Kwa kasirani kali nimekasirikia sana mataifa yenye utulivu,+ kwa sababu nilikasirika kidogo tu,+ lakini waliongeza kwenye musiba.”’+