3 Uzia+ alikuwa na miaka kumi na sita (16) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tano na mbili (52) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yekolia wa Yerusalemu.+
6 Akatoka na kupigana na Wafilisti+ na akatoboa ukuta wa Gati,+ ukuta wa Yabne,+ na ukuta wa Ashdodi.+ Kisha akajenga miji katika eneo la Ashdodi na katikati ya Wafilisti.