Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:1-3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 48 Yehova ni mukubwa na anastahili kabisa kusifiwa

      Katika muji wa Mungu wetu, katika mulima wake mutakatifu.

       2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+

      Ni Mulima Sayuni wenye kuwa mbali sana kaskazini,

      Muji wa Mufalme Mukubwa.+

       3 Katika minara yake yenye ngome,

      Mungu amejulisha kwamba yeye ni kimbilio salama.*+

  • Zaburi 87:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 87 Musingi wa muji wake uko katika milima mitakatifu.+

       2 Yehova anapenda milango mikubwa ya Sayuni+

      Kuliko mahema yote ya Yakobo.

  • Zaburi 132:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+

      Ametamani ikuwe makao yake:+

      14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumuzikia milele;

      Nitakaa hapa,+ kwa maana hiyo ndiyo tamaa yangu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine