3 Yehova anasema hivi: “Mutende haki na uadilifu. Mukomboe mwenye kunyanganywa kutoka katika mukono wa mupunjaji. Musitendee mubaya mukaaji yeyote mugeni, na musiumize mutoto yeyote mwenye hana baba ao mujane.+ Na musimwange damu yoyote yenye haina hatia mahali hapa.+