Yeremia 49:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Kwa ajili ya Damasko:+ “Hamati+ na Arpadi wamepatishwa haya,Kwa maana wamesikia habari ya mubaya. Wanayeyuka kwa woga. Kuko musukosuko katika bahari wenye hauwezi kutulizwa. Zekaria 9:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Tangazo: “Neno la Yehova liko juu ya inchi ya Hadraki,Na Damasko ndio shabaha yake*+—Kwa maana jicho la Yehova linaangalia wanadamu+Na linaangalia makabila yote ya Israeli—
23 Kwa ajili ya Damasko:+ “Hamati+ na Arpadi wamepatishwa haya,Kwa maana wamesikia habari ya mubaya. Wanayeyuka kwa woga. Kuko musukosuko katika bahari wenye hauwezi kutulizwa.
9 Tangazo: “Neno la Yehova liko juu ya inchi ya Hadraki,Na Damasko ndio shabaha yake*+—Kwa maana jicho la Yehova linaangalia wanadamu+Na linaangalia makabila yote ya Israeli—