Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Mupaka huo ukapanda kufikia Bonde la Mwana wa Hinomu+ kwenye muteremuko wa Muyebusi+ upande wa kusini, ni kusema, Yerusalemu,+ na mupaka ulipanda kufikia kwenye kichwa cha mulima wenye kuangaliana na Bonde la Hinomu upande wa mangaribi, wenye kuwa kwenye mwisho kabisa wa Bonde* la Refaimu upande wa kaskazini.

  • Yoshua 15:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Mupaka wa mangaribi ulikuwa Bahari Kubwa*+ na eneo lake la pembeni. Hiyo ndiyo ilikuwa mipaka ya wazao wa Yuda kulingana na familia zao.

  • Yoshua 18:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kura ilitokea kwa ajili ya kabila la Benyamini kulingana na familia zao, na eneo la kura yao lilikuwa katikati ya watu wa Yuda+ na watu wa Yosefu.+

  • Yoshua 18:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Mupaka huo ulishuka kufikia mwisho wa mulima wenye kuangaliana na Bonde la Mwana wa Hinomu,+ upande wa kaskazini katika Bonde* la Refaimu,+ na ulishukia upande wa kusini katika Bonde la Hinomu, kwenye muteremuko wa Muyebusi,+ na kushukia En-rogeli.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine