-
2 Mambo ya Nyakati 19:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Na akawaamuru: “Ni hivi munapaswa kufanya katika woga wa Yehova, kwa uaminifu na kwa moyo kamili:* 10 Kila mara wakati ndugu zenu wenye wanaishi katika miji yao wanaleta kesi ya hukumu yenye inahusu umwangaji wa damu+ ao ulizo juu ya sheria fulani, amri, masharti, ao maamuzi, munapaswa kuwaonya ili wasikuwe na hatia mbele ya Yehova; tofauti na hilo kasirani yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Hilo ndilo munapaswa kufanya, ili musikuwe na hatia.
-