-
Ezekieli 27:32, 33Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Katika maombolezo yao wataimba wimbo wa huzuni na kukuimbia,
‘Ni nani mwenye kuwa kama Tiro, mwenye sasa amenyamazishwa katikati ya bahari?+
33 Wakati vitu vyako vilifika kutoka katika bahari kubwa, ulishibisha vikundi vingi vya watu.+
Utajiri wako mwingi na vitu vyako vya biashara vilifanya wafalme wa dunia wakuwe matajiri.+
-
-
Ezekieli 28:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Umejifanya kuwa tajiri kwa hekima yako na utambuzi wako,
Na unaendelea kukusanya zahabu na feza katika hazina zako.+
-