-
Mika 3:9-11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Tafazali musikie jambo hili, ninyi vichwa vya nyumba ya Yakobo
Na ninyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+
Wenye kuchukia haki na kupotosha mambo yote yenye kunyooka,+
10 Wenye kujenga Sayuni kwa kumwanga damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa haki.+
11 Viongozi wake* wanapokea rushwa* ili kuhukumu,+
Makuhani wake wanafundisha ili wapate malipo,+
Na manabii wake wanafanya uaguzi ili wapate feza.+
Na hata hivyo wanamutegemea Yehova,* kwa kusema:
“Je, Yehova haiko pamoja na sisi?+
Hakuna musiba wenye utatupata.”+
-