Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Yehova ataingia katika hukumu pamoja na wazee na wakubwa wa watu wake.

      “Mumeteketeza kwa moto shamba la mizabibu,

      Na vitu vyenye mumeiba maskini viko katika nyumba zenu.+

  • Mika 3:9-11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Tafazali musikie jambo hili, ninyi vichwa vya nyumba ya Yakobo

      Na ninyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+

      Wenye kuchukia haki na kupotosha mambo yote yenye kunyooka,+

      10 Wenye kujenga Sayuni kwa kumwanga damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa haki.+

      11 Viongozi wake* wanapokea rushwa* ili kuhukumu,+

      Makuhani wake wanafundisha ili wapate malipo,+

      Na manabii wake wanafanya uaguzi ili wapate feza.+

      Na hata hivyo wanamutegemea Yehova,* kwa kusema:

      “Je, Yehova haiko pamoja na sisi?+

      Hakuna musiba wenye utatupata.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine