Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 “Wakati Yehova atamaliza kazi yake yote kwenye Mulima Sayuni na katika Yerusalemu, Yeye atapatia* mufalme wa Ashuru azabu kwa sababu ya moyo wake wenye zarau na namna yake ya kuangalia yenye kiburi na majivuno.+

  • Nahumu 3:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Wachungaji wako wanasinzia, Ee mufalme wa Ashuru;

      Watu wako wenye vyeo wanakaa katika makao yao.

      Watu wako wametawanyika kwenye milima,

      Na hakuna mutu wa kuwakusanya pamoja.+

  • Sefania 2:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Atanyoosha mukono wake kuelekea kaskazini na kuharibu Ashuru,

      Na atafanya Ninawi ikuwe ukiwa,+ kama eneo lenye kukauka la jangwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine