13 Halafu hasira yangu itafika mwisho, na kasirani yangu kali juu yao itatulia, na nitatosheka.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi, Yehova, nimesema kwa kukazia kwamba watu washikamane na mimi tu,+ wakati nitamaliza kumwanga kasirani yangu kali juu yao.