Isaya 8:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Yehova akaniambia: “Kamata bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida,* ‘Maher-shalal-hash-bazi.’* Yeremia 36:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Kamata kitabu cha kukunjwa na uandike ndani yake maneno yote yenye nimekuambia juu ya Israeli na Yuda+ na mataifa yote,+ tangu siku ya kwanza yenye nilisema na wewe katika siku za Yosia mupaka leo.+
8 Yehova akaniambia: “Kamata bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida,* ‘Maher-shalal-hash-bazi.’*
2 “Kamata kitabu cha kukunjwa na uandike ndani yake maneno yote yenye nimekuambia juu ya Israeli na Yuda+ na mataifa yote,+ tangu siku ya kwanza yenye nilisema na wewe katika siku za Yosia mupaka leo.+