27 Kwa maana mimi mwenyewe ninajua muzuri uasi wenu+ na ugumu wa moyo wenu.*+ Kama mumekuwa munamuasi sana Yehova wakati ningali muzima pamoja na ninyi, basi itakuwa namna gani kisha kifo changu!
3 Ni kwa sababu ya mambo maovu yenye walifanya ili kunikasirisha kwa kuenda na kutoa zabihu+ na kutumikia miungu mingine yenye wao hawakukuwa wanajua, wala ninyi wala mababu zenu.+