Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Musisikilize maneno ya manabii wenye wanawatolea ninyi unabii.+

      Wanawadanganya ninyi.*

      Maono yenye wanasema yanatoka katika moyo wao wenyewe,+

      Hapana katika kinywa cha Yehova.+

      17 Wanaambia tena na tena wale wenye hawaniheshimie,

      ‘Yehova amesema: “Mutakuwa na amani.”’+

      Na kila mutu mwenye anafuata moyo wake mwenyewe mugumu wanamuambia,

      ‘Hakuna musiba wowote wenye utakuja juu yako.’+

  • Ezekieli 13:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Je, haiko maono ya uongo ndiyo mumeona na uongo ndio mumetabiri wakati munasema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati sikusema jambo lolote?”’

  • Mika 2:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kama mutu anafuata upepo na udanganyifu, na kusema uongo huu:

      “Nitawahubiria juu ya divai na pombe,”

      Basi angekuwa tu muhubiri wa watu hawa!+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine