-
Yeremia 23:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Musisikilize maneno ya manabii wenye wanawatolea ninyi unabii.+
Wanawadanganya ninyi.*
17 Wanaambia tena na tena wale wenye hawaniheshimie,
‘Yehova amesema: “Mutakuwa na amani.”’+
Na kila mutu mwenye anafuata moyo wake mwenyewe mugumu wanamuambia,
‘Hakuna musiba wowote wenye utakuja juu yako.’+
-
-
Ezekieli 13:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Je, haiko maono ya uongo ndiyo mumeona na uongo ndio mumetabiri wakati munasema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati sikusema jambo lolote?”’
-
-
Mika 2:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kama mutu anafuata upepo na udanganyifu, na kusema uongo huu:
“Nitawahubiria juu ya divai na pombe,”
Basi angekuwa tu muhubiri wa watu hawa!+
-