11 “‘Kwa maana ninajua muzuri mawazo yenye ninafikiria kuwaelekea ninyi,’ ni vile Yehova anasema, ‘mawazo ya amani, na hapana ya musiba,+ ili kuwapatia ninyi wakati wenye kuja wa muzuri na tumaini.+ 12 Na mutaniita na kuja na kusali kwangu, na nitawasikiliza.’+