13 Ninaweza kutumia nini kama shahidi,
Ao ninaweza kukufananisha na nini, Ee binti ya Yerusalemu?
Ninaweza kukulinganisha na nini, ili kukufariji, Ee binti bikira wa Sayuni?
Kwa maana muvunjiko wako ni mukubwa kama bahari.+ Ni nani anaweza kukuponyesha?+