Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Sasa Yehova akamuambia Musa: “Angalia! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho na miungu ya kigeni yenye kuwazunguka katika inchi kwenye wanaenda.+ Wataniacha+ na kuvunja agano langu lenye nimefanya pamoja nao.+ 17 Wakati huo kasirani yangu itawaka juu yao,+ na nitawaacha+ na kuficha uso wangu ili wasiuone+ mupaka wakati watateketezwa. Halafu kisha kupatwa na misiba na taabu nyingi,+ watasema, ‘Je, haiko kwa sababu Mungu haiko katikati yetu ndiyo maana misiba hii imekuja juu yetu?’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine