-
Kumbukumbu la Torati 31:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Sasa Yehova akamuambia Musa: “Angalia! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho na miungu ya kigeni yenye kuwazunguka katika inchi kwenye wanaenda.+ Wataniacha+ na kuvunja agano langu lenye nimefanya pamoja nao.+ 17 Wakati huo kasirani yangu itawaka juu yao,+ na nitawaacha+ na kuficha uso wangu ili wasiuone+ mupaka wakati watateketezwa. Halafu kisha kupatwa na misiba na taabu nyingi,+ watasema, ‘Je, haiko kwa sababu Mungu haiko katikati yetu ndiyo maana misiba hii imekuja juu yetu?’+
-