2 Wafalme 19:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kwa sababu kasirani yako kali juu yangu+ na mungurumo wako vimefika katika masikio yangu.+ Basi nitatia kulabu* yangu katika pua yako na lijamu* yangu+ katikati ya midomo yako,Na nitakurudisha kupitia njia yenye ilikuleta.”+ Zaburi 32:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Usikuwe kama farasi ao nyumbu, mwenye hana uelewaji,+Mwenye musisimuko wake unapaswa kuzuiwa kupitia lijamu* ao kupitia hatamu*Mbele akukaribie.”
28 Kwa sababu kasirani yako kali juu yangu+ na mungurumo wako vimefika katika masikio yangu.+ Basi nitatia kulabu* yangu katika pua yako na lijamu* yangu+ katikati ya midomo yako,Na nitakurudisha kupitia njia yenye ilikuleta.”+
9 Usikuwe kama farasi ao nyumbu, mwenye hana uelewaji,+Mwenye musisimuko wake unapaswa kuzuiwa kupitia lijamu* ao kupitia hatamu*Mbele akukaribie.”