Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ mwenye hana ukosefu wa haki hata kidogo;+Yeye ni mwenye haki na munyoofu.+ Isaya 26:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mumutegemee Yehova milele+Kwa maana Yah* Yehova ni Mwamba wa milele.+
4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ mwenye hana ukosefu wa haki hata kidogo;+Yeye ni mwenye haki na munyoofu.+