-
Yoshua 10:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Wakati walikuwa wanakimbia Israeli kwenye muteremuko wa Bet-horoni, Yehova alifanya mvua ya majiwe makubwa kutoka mbinguni inyeshe juu yao mupaka kufikia Azeka, na wakakufa. Kwa kweli, wenye walikufa kwa majiwe hayo walikuwa wengi kupita wenye Waisraeli waliua kwa upanga.
-