24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova wa majeshi, anasema: “Musiogope, watu wangu wenye kukaa katika Sayuni, kwa sababu ya Mwashuru, mwenye alikuwa anawapiga kwa fimbo+ na kuinua fimbo yake juu yenu kama vile Misri ilifanya.+
26 Yehova wa majeshi atatikisa mujeledi juu yake,+ kama vile wakati alishinda Midiani pembeni ya mwamba wa Orebu.+ Na fimbo yake itakuwa juu ya bahari, naye ataiinua kama vile alitendea Misri.+