Isaya 35:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Wakati huo kilema wa miguu ataruka-ruka kama paa+Na ulimi wa bubu utapiga vigelegele vya shangwe.+ Kwa maana maji yatabubujika katika jangwa,Na mito midogo katika jangwa tambarare.
6 Wakati huo kilema wa miguu ataruka-ruka kama paa+Na ulimi wa bubu utapiga vigelegele vya shangwe.+ Kwa maana maji yatabubujika katika jangwa,Na mito midogo katika jangwa tambarare.