Mika 2:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Ole wao wenye kupanga mambo yenye kuumiza,Wale wenye kupanga maovu katika vitanda vyao! Na wakati mwangaza wa asubui unatokea wanayatimiza,Kwa sababu wako na uwezo wa kufanya vile.+
2 “Ole wao wenye kupanga mambo yenye kuumiza,Wale wenye kupanga maovu katika vitanda vyao! Na wakati mwangaza wa asubui unatokea wanayatimiza,Kwa sababu wako na uwezo wa kufanya vile.+