9 Akateketeza kabisa nyumba ya Yehova kwa moto,+ nyumba ya mufalme,+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ akateketeza pia kwa moto nyumba ya kila mutu wa maana.+ 10 Na kuta zenye kuzunguka Yerusalemu zilibomolewa kabisa na jeshi lote la Wakaldayo lenye lilikuwa pamoja na mukubwa wa walinzi.+