Zaburi 119:165 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 165 Wale wenye kupenda sheria yako wako na amani nyingi;+Hakuna kitu chochote chenye kinaweza kuwafanya wajikwae.* Isaya 55:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Kwa maana mutaenda mukishangilia,+Na mutarudishwa kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamuka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+Na miti yote ya pori itapiga mikono.+
165 Wale wenye kupenda sheria yako wako na amani nyingi;+Hakuna kitu chochote chenye kinaweza kuwafanya wajikwae.*
12 Kwa maana mutaenda mukishangilia,+Na mutarudishwa kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamuka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+Na miti yote ya pori itapiga mikono.+