19 Basi Rabshake akawaambia: “Tafazali, mumuambie Hezekia, ‘Mufalme mukubwa, mufalme wa Ashuru, anasema: “Musingi wa tumaini lako ni nini?+ 20 Unasema, ‘Niko na ufundi na nguvu za kupigana vita,’ lakini hayo ni maneno yenye hayana maana. Unamutegemea nani, na hivyo unapima kuniasi mimi?+