17 Ninajua muzuri, Ee Mungu wangu, kwamba wewe unachunguza moyo,+ na kwamba unapendezwa na uaminifu-mushikamanifu.+ Katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa vitu hivi vyote kwa kujipendea, na ninafurahi sana kuona watu wako wenye kuwa hapa wakikutolea matoleo ya kujipendea.