15 Malaika wa saba (7) akapiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikiwa mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ na atatawala akiwa mufalme milele na milele.”+
17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, ule mwenye iko*+ na mwenye alikuwa, kwa sababu umechukua nguvu yako kubwa na umeanza kutawala ukiwa mufalme.+