Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Mufalme Yehoyakini wa Yuda akatoka inje kuenda kwa mufalme wa Babiloni,+ pamoja na mama yake, watumishi wake, wakubwa wake, na watu wenye cheo kwenye makao yake;+ na mufalme wa Babiloni akamukamata mateka katika mwaka wa munane (8) wa utawala wake.+

  • Danieli 2:49
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 49 Na kwa ombi la Danieli, mufalme akamuweka Shadraki, Meshaki, na Abednego+ kwenye usimamizi wa jimbo la* Babiloni, lakini Danieli akafanya kazi katika makao ya mufalme.

  • Danieli 5:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Kisha Belshaza akatoa amri, na wakamuvalisha Danieli nguo za rangi ya zambarau na kuweka mukufu wa zahabu kuzunguka shingo yake; na wakatangaza kumuhusu kwamba atakuwa mutawala wa tatu (3) katika ufalme.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine