Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 16:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kwanza, nitalipa kiasi kamili chenye kustahili kosa lao na zambi yao,+

      Kwa maana wamechafua inchi yangu kwa mifano yenye haina uzima ya* sanamu zao zenye kuchukiza

      Na wamejaza uriti wangu mambo yao yenye kuchukiza.’”+

  • Danieli 9:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Israeli yote imevunja Sheria yako na imegeuka kwa kukosa kutii sauti yako, na hivyo umetumwangia laana na kiapo chenye kiliapwa chenye kimeandikwa katika Sheria ya Musa mutumishi wa Mungu wa kweli,+ kwa maana tumemutendea Yeye zambi. 12 Ametimiza maneno yake yenye alisema juu yetu+ na juu ya watawala wetu wenye walitutawala,* kwa kutuletea mateso makubwa; hakuna jambo lenye limekwisha kufanyika chini ya mbingu zote lenye kuwa kama lile lenye lilifanyika katika Yerusalemu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine