Isaya 46:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Ninatabiri matokeo tangu mwanzoNa tangu zamani sana mambo yenye bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi wangu utasimama,*+Na nitafanya jambo lolote lenye ninapenda.’+ 1 Petro 1:24, 25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kwa maana “miili yote* ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la shamba; majani yanakauka, na ua linaanguka, 25 lakini neno la Yehova* linadumu milele.”+ Na “neno” hilo ni habari njema yenye mumetangaziwa.+
10 Ninatabiri matokeo tangu mwanzoNa tangu zamani sana mambo yenye bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi wangu utasimama,*+Na nitafanya jambo lolote lenye ninapenda.’+
24 Kwa maana “miili yote* ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la shamba; majani yanakauka, na ua linaanguka, 25 lakini neno la Yehova* linadumu milele.”+ Na “neno” hilo ni habari njema yenye mumetangaziwa.+