12 na nikapana karatasi ya mapatano ya kununua kwa Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu, wale mashahidi wenye waliandika katika karatasi ya mapatano ya kununua, na Wayahudi wote wenye walikuwa wamekaa katika Kiwanja cha Walinzi.+