Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 “‘Lakini wakati miaka makumi saba (70) itatimia,+ nitaomba hesabu kwa* mufalme wa Babiloni na taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ ni vile Yehova anasema, ‘na nitafanya inchi ya Wakaldayo kuwa inchi yenye imeachwa ukiwa sikuzote.+

  • Yeremia 25:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakubwa+ watawafanya kuwa watumwa,+ na nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+

  • Yeremia 50:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Mufanye makelele ya vita juu yake kila upande.

      Amejitia katika mikono ya maadui.*

      Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+

      Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+

      Mujilipizie kisasi juu yake.

      Mumutendee kama vile ametenda.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine