Yeremia 25:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 “‘Lakini wakati miaka makumi saba (70) itatimia,+ nitaomba hesabu kwa* mufalme wa Babiloni na taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ ni vile Yehova anasema, ‘na nitafanya inchi ya Wakaldayo kuwa inchi yenye imeachwa ukiwa sikuzote.+ Yeremia 25:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakubwa+ watawafanya kuwa watumwa,+ na nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+ Yeremia 50:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Mufanye makelele ya vita juu yake kila upande. Amejitia katika mikono ya maadui.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Mujilipizie kisasi juu yake. Mumutendee kama vile ametenda.+
12 “‘Lakini wakati miaka makumi saba (70) itatimia,+ nitaomba hesabu kwa* mufalme wa Babiloni na taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ ni vile Yehova anasema, ‘na nitafanya inchi ya Wakaldayo kuwa inchi yenye imeachwa ukiwa sikuzote.+
14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakubwa+ watawafanya kuwa watumwa,+ na nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+
15 Mufanye makelele ya vita juu yake kila upande. Amejitia katika mikono ya maadui.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Mujilipizie kisasi juu yake. Mumutendee kama vile ametenda.+