-
Yeremia 25:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Kamata kikombe hiki cha divai ya kasirani kali kutoka katika mukono wangu, na ufanye mataifa yote yenye ninakutuma kwao yakikunywe. 16 Na watakunywa na kuyumba-yumba na kutenda kama wenda-wazimu kwa sababu ya upanga wenye ninatuma kati yao.”+
-