18 Wakaacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao na wakaanza kutumikia miti mitakatifu* na sanamu, na hivyo kasirani ya Mungu ikakuja* juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hatia yao.
3 Alijenga upya mahali pa juu penye Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha mazabahu kwa ajili ya Mabaali na kutengeneza miti mitakatifu,* na akainamia jeshi lote la mbinguni na kulitumikia.+