Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Basi Waisraeli wakafanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, na wakamusahau Yehova Mungu wao na wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.*+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Wakaacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao na wakaanza kutumikia miti mitakatifu* na sanamu, na hivyo kasirani ya Mungu ikakuja* juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hatia yao.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Manase+ alikuwa na miaka kumi na mbili (12) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tano na tano (55) katika Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Alijenga upya mahali pa juu penye Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha mazabahu kwa ajili ya Mabaali na kutengeneza miti mitakatifu,* na akainamia jeshi lote la mbinguni na kulitumikia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine