48 Yehova atatuma maadui wako wakushambulie, na utawatumikia+ wakati uko na njaa+ na kiu na wakati unakosewa nguo na wakati unakosewa kila kitu. Atatia nira ya chuma kwenye shingo yako mupaka wakati atakuwa amekuharibu.
13 Basi nitawatupa ninyi inje ya inchi hii katika inchi yenye ninyi wala mababu zenu hamukujua,+ na kule mutatumikia miungu mingine muchana na usiku,+ kwa sababu sitawaonyesha wema wowote.”’