25 Ndiyo sababu kasirani ya Yehova inawaka juu ya watu wake,
Na atanyoosha mukono wake juu yao na kuwapiga.+
Milima itatetemeka,
Na maiti zao zitakuwa kama uchafu katika barabara.+
Kwa sababu ya mambo hayo yote, kasirani yake haijarudia nyuma,
Lakini mukono wake ungali wenye kunyooshwa ili kupiga.