30 “Ole wao wana wenye wako kichwa-nguvu,”+ ni vile Yehova anasema,
“Wenye wanatimiza mipango yenye haiko yangu,+
Wenye wanafanya maagano, lakini haiko kwa roho yangu,
Ili kuongeza zambi juu ya zambi.
2 Wanashuka kuenda Misri+ bila kuniuliza,+
Ili kujiweka chini ya ulinzi wa Farao
Na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!