Ezra 3:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Kwa hiyo wakajenga mazabahu mahali ilikuwa zamani, hata kama waliogopa vikundi vya watu vya inchi zenye kuwazunguka,+ na wakaanza kumutolea Yehova zabihu za kuteketezwa juu yake, zabihu za kuteketezwa za asubui na za mangaribi.+
3 Kwa hiyo wakajenga mazabahu mahali ilikuwa zamani, hata kama waliogopa vikundi vya watu vya inchi zenye kuwazunguka,+ na wakaanza kumutolea Yehova zabihu za kuteketezwa juu yake, zabihu za kuteketezwa za asubui na za mangaribi.+