8 Yehoyakini+ alikuwa na miaka kumi na munane (18) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miezi tatu (3) katika Yerusalemu.+ Jina la mama yake lilikuwa Nehushta binti ya Elnatani wa Yerusalemu.
24 “‘Kama vile hakika ninaishi,’ ni vile Yehova anasema, ‘hata kama Konia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mufalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri kwenye mukono wangu wa kuume, ningekungoa kutoka pale!