Yeremia 23:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Na katika manabii wa Yerusalemu nimeona mambo yenye kuchukiza sana. Wanafanya uzinifu+ na kutembea katika uongo;+Wanatia moyo* watenda-maovu,Na hawageuke na kuacha uovu wao. Kwangu wote ni kama Sodoma,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+
14 Na katika manabii wa Yerusalemu nimeona mambo yenye kuchukiza sana. Wanafanya uzinifu+ na kutembea katika uongo;+Wanatia moyo* watenda-maovu,Na hawageuke na kuacha uovu wao. Kwangu wote ni kama Sodoma,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+