-
Yeremia 43:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Azaria mwana wa Hoshaya, Yohanani+ mwana wa Karea, na watu wote wenye kimbelembele wakamuambia Yeremia: “Mambo yenye unasema ni ya uongo! Yehova Mungu wetu hakukutuma useme, ‘Musiende Misri kukaa kule.’
-