7 Mababu zetu kule Misri hawakuona kazi zako za ajabu kuwa za maana.
Hawakukumbuka upendo wako mwingi mushikamanifu,
Lakini waliasi kwenye bahari, pembeni ya Bahari Nyekundu.+
8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+
Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+