32 “Angalia, ninapinga manabii wa ndoto za uongo,” ni vile Yehova anasema, “wenye wanazieleza na kupotosha watu wangu kwa sababu ya uongo wao na kujisifu kwao.”+
“Lakini sikuwatuma wala kuwaamuru. Basi hawataletea watu hawa faida hata kidogo,”+ ni vile Yehova anasema.